Saturday, April 1, 2023
HomeEntertainmentNandy & Billnass Welcome Their Bundle Of Joy

Nandy & Billnass Welcome Their Bundle Of Joy

Tanzanian couple Nandy and Billnass welcome their first child on Wednesday.

Nandy took to her Instagram to share her joy over her bundle of joy . Giving praise to God for the blessings and thanking her husband for giving him a best friend.

Kwanza kabisa nimshukuru MUNGU kwa ukuu wake hakika amezaliwa BINTI WA KICHAGA … nyie na furaha sijawahi kupata maishani mwangu nilijua nimefurahi na mengi lakini kumbe bado,,,!!! hii ni furaha ya kweli toka moyoni❤️.. MUME WANGU @billnass asante kwa zawadi hii asante kwa kunipa BEST FRIEND,

Nandy

Billnass on his side praised Nandy for giving him a beautiful baby girl and friend. The rapper terms this year a special one.

Ahsante Mungu Kwa zawadi na Baraka…kila iitwapo leo!! Kwangu Mimi 2022 ni Mwaka wa kipekee sana… Pili Kipekee Niseme Ahsante Mke wangu Kipenzi @officialnandy Kwa Kuniletea Mrembo na Rafiki, Haikuwa Kazi Rahisi umenionesha wewe ni Shujaa kiasi gani kwanzia Mtoto akiwa tumboni mpaka Muda unajifungua umepigana sana… nimejionea namna gani mtu anaweza ku risk kupoteza uhai wake wakati wa kujifungua…Hii imefanya nizidi kukupenda, Kukuheshimu na kukupa Nafasi ya Pekee katika Maisha Yangu….Hayo Yote Hayatoshi Lakini Kila Siku Nakuombea Kwa Mungu akulinde Mke Wangu na Nitakupa Furaha Na Kufanya Maisha Yako Yawe ya Amani kwani Unastahili Mengi Mazuri sina zawadi kubwa itakayoweza lingana na Upendo wangu kwako zaidi ya kuzidisha upendo.

Billnass
RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -spot_img

Most Popular

Recent Comments